JIPATIE VIWANJA NA MASHAMBA NA (MISS LIDYA MPINGA)

 
JIPATIE VIWANJA NA MASHAMBA NA (MISS LIDYA MPINGA)

TUNAUZA VIWANJA NA MASHAMBA YALIYO PIMWA KWA CASH NA MKOPO
▫️TUNAUZA VIWANJA VYA MAKAZI NA BIASHARA
▫️”YOUR FUTURE, ON SOLID GROUND “

Kwa sasa kuna projects tatu Kubwa :
1. Mashamba Kiwangwa
2. ⁠Viwanja Makurunge 
3. ⁠Viwanja kaole

Miradi yote ipo bagamoyo

------------------------------------
1. MILIKI SHAMBA LAKO SASA!

MASHAMBA YA KISASA – BAGAMOYO, KIWANGWA

MASHAMBA YA KISASA – BAGAMOYO, KIWANGWA
MASHAMBA YA KISASA – BAGAMOYO, KIWANGWA


✅ Ekari Moja kwa Bei Nafuu: TZS 1,500,000

✅Lipia Kidogo Kidogo: TZS 100,000 tu kwa mwezi kwa miezi 15

✅ Ukubwa wa Shamba: 70m x 70m (Ekari 1 kamili)

Sifa Muhimu za Mashamba Haya:

✅ Yamepimwa kisheria – tayari yana Hati Miliki

✅ Umbali wa 6km tu kutoka barabara kuu – barabara inapitika muda wote

✅ Mashamba yameanzia moja kwa moja kwenye barabara ya TARURA

✅ Udongo wenye rutuba – mazao yanastawi kwa kiwango cha juu sana

✅ Mazuri kwa kilimo cha kibiashara: nanasi, mihogo, alizeti, mahindi, vitunguu n.k.

✅ Mazuri pia kwa ufugaji: kuku, ng’ombe, mbuzi, kondoo n.k.

✅ Tambalale – yanafaa pia kwa uwekezaji wa viwanja kwa ajili ya makazi ya baadaye

✅ Karibu na huduma muhimu: shule, hospitali, umeme

✅ Barabara nzuri, miundombinu wezeshi ipo tayari

Mpango wa Malipo Rahisi Kabisa:
•    Chukua ekari 1 – anza na TZS 100,000
•    Chukua ekari 2 – anza na TZS 200,000
•    Chukua ekari 3 – anza na TZS 300,000

Ziara za Mradi:
Safari za kwenda kuona mashamba zinaratibiwa mara kwa mara. Jiunge nasi utembelee eneo la uwekezaji!

Safari zitaanza: MWENGE - SHELI YA PUMA

Siku: kila jumamosi.

Nauli ya kuchangia: TSh 10,000 tu

Weka nafasi yako mapema!
Fika ofisini, twende pamoja tukatembelee site uchague ekari yako ya shamba.

☎️ 0759663678 Wasiliana nasi sasa ili kuthibitisha booking yako!

🌱 USIKOSE NAFASI HII YA KIPEKEE!
Fursa hii ni adimu – miliki ardhi yako leo kwa gharama nafuu na malipo mepesi.
Karibu Bagamoyo Kiwangwa – Mali Utaipata Shambani!

Follow Instagram Page Yetu kwa Updates Zaidi: - https://www.instagram.com/verifiedland_and_realestate
---------------


2. Je Unatafuta sehemu tulivu ya kuishi au kuwekeza Bagamoyo? Kaole ndiyo mahali sahihi kwako!

Tunatoa viwanja vikubwa na vyenye mandhari ya kuvutia, vilivyopo karibu na bahari.

 

Unatafuta sehemu tulivu ya kuishi au kuwekeza Bagamoyo? Kaole ndiyo mahali sahihi kwako!
Unatafuta sehemu tulivu ya kuishi au kuwekeza Bagamoyo? Kaole ndiyo mahali sahihi kwako!

Eneo linafaa kwa:
• Makazi ya kuishi ( Residential)
• Biashara (Biashara ya hoteli na malazi, biashara ya migahawa na vyakula vya Baharini, biashara ya Utalii na burudani; mfano safari za boti, biashara za mazao ya baharini kama uvuvi na uuzaji wa samaki au dagaa)

Vipimo vya viwanja:
• Kuanzia sqm 1,000

Bei:
• Tsh 25,000/= kwa sqm

Malipo:
• Malipo ni CASH au Kwa INSTALLMENTS
• ⁠Ukilipa CASH unapata punguzo la 10%
• Au unaweza kulipa kwa INSTALLMENTS hadi miezi 20

• Mfano:
• Kiwanja cha sqm 1,700 ni Tsh 42,500,000/=
• Malipo ya kila mwezi ni Tsh 2,125,000/=

Faida nyingine:
• Viwanja vina HATI MILIKI
• Viko mita chache kutoka baharini
• Watu wa mikoani tunawahudumia kwa uaminifu mkubwa sana hadi pale watakapo kuja physically kwa ajili ya kusaini mikataba 
• Nauli ya kwenda site kuona ni Tsh 10,000 tu

Wahi sasa! Wasiliana nasi kupitia:
Simu: 0759663678
Tutakutumia ramani na kukusaidia kuchagua kiwanja bora zaidi.

Follow Instagram Page Yetu kwa Updates Zaidi: - https://www.instagram.com/verifiedland_and_realestate
----------------


3. MRADI WA VIWANJA VYA MAKAZI - MAKURUNGE, BAGAMOYO.

Tunakuletea fursa adimu ya kumiliki kiwanja chenye hati miliki katika eneo lenye mandhari ya kuvutia na miundombinu bora kabisa!

MRADI WA VIWANJA VYA MAKAZI - MAKURUNGE, BAGAMOYO.
MRADI WA VIWANJA VYA MAKAZI - MAKURUNGE, BAGAMOYO.



HUDUMA BORA ZIMEFIKA HADI SITE:
• Barabara zinazopitika muda wote
• Huduma zote muhimu za kijamii kama maji na umeme
• Umbali wa KM 2.5 tu kutoka barabara kuu

GHARAMA NAFUU KABISA:

• Bei ni Tsh 7,000 kwa SQM
• Kiwanja cha SQM 500 ni Tsh 3,500,000
• Lipa kidogo kidogo: Tsh 175,000 kwa mwezi kwa miezi 20

HATI MILIKI TAYARI - MILIKI KWA AMANI

Ziara ya kutembelea viwanja itafanyika Jumamosi hii - usikose nafasi ya kuona kwa macho yako!
Wasiliana nasi leo upate nafasi yako

Wahi sasa! Wasiliana nasi kupitia:
Simu: 0759663678
Tutakutumia ramani na kukusaidia kuchagua kiwanja bora zaidi.

📍Office zetu zipo MBEZI BEACH karibu na MASSANA HOSPITAL

Follow Instagram Page Yetu kwa Updates Zaidi: - https://www.instagram.com/verifiedland_and_realestate

 

 -----------

 See also: Think you can’t transform your body in six months? Think again !

For regular up to date Opportunities Updates :

 Tap / Click Here to Follow the Fursa Opportunities channel on WhatsApp

 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad