Je umekuwa ukitafuta kazi kwa muda mrefu bila mafanikio?
Je, unatafuta fursa ya kipekee ya kujenga kipaji chako katika mauzo na masoko? Rose Nutrition Life, kwa udhamini wa Eternal International ya China, inakupa nafasi ya kujiunga na timu yetu kama Afisa Mauzo na Masoko.
Sifa za Mwombaji
Umri: Miaka 21 hadi 40.
Elimu: Kuanzia Darasa la Saba na kuendelea.
Afya: Uwe na afya njema kimwili na kiakili.
Sifa Binafsi: Uwe mwaminifu, mwenye nidhamu, na usiyekuwa na rekodi ya makosa ya jinai.
Uzoefu: Uzoefu katika huduma kwa wateja (customer care) ni sifa muhimu.
Mshahara na Mahali pa Kazi
Mshahara: Tsh 20,000/= kwa siku.
Mahali: Buguruni Sheli.
Jinsi ya Kuomba
Fika moja kwa moja kwenye ofisi ya Rose Nutrition Life iliyopo Buguruni Sheli kwa maelezo zaidi na kuwasilisha maombi yako.
Mawasiliano:
Kwa maelezo zaidi ukiwa Buguruni Sheli, piga simu namba:
0742030390
0610420960
Get to Know Symmetric Auditing and Management Consultants: Your Partner for Business Success
Ready to Be Your Own Boss? Start Your Journey to Extra Income Today
See also: Think you can’t transform your body in six months? Think again !
For More up to date Opportunities Updates :
Click / Tap Here to Follow the Fursa Opportunities channel on WhatsApp