Nafasi za Kazi , TOSH SECURITY Co. Ltd - Ulinzi ( elimu ya darasa la saba, kidato cha nne au zaidi)

Top Post Ad

Nafasi za Kazi , TOSH SECURITY Co. Ltd - Ulinzi ( elimu ya darasa la saba, kidato cha nne au zaidi)
Nafasi za Kazi , TOSH SECURITY Co. Ltd - Ulinzi ( elimu ya darasa la saba, kidato cha nne au zaidi)

TANGAZO   LA NAFASI ZA KAZI

TOSH SECURITY Co. Ltd

P.O. Box 1319, Uhuru na Msimbazi, Dar es Salaam.


TOSH SECURITY Co. Ltd inatangaza nafasi za kazi ya ULINZI kwa vijana wote wa kiume na wa kike waliotayari kujituma, kuwa waaminifu  na wenye nidhamu.



SIFA ZA MWOMBAJI:

1. Awe Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea.

2. Awe na elimu ya darasa la saba, kidato cha nne au zaidi.

3. Awe na nakala ya kitambulisho kinachotambulika na serikali:

»  NIDA

»  Kitambulisho cha Kupigia Kura

» Leseni ya Udereva
»   Passport( hati ya Kusafiria)

»  Au kingine chochote halali

4. Awe na wadhamini wawili (2) waliothibitishwa, kila mdhamini  atoe:

»   Barua ya mkono (handwritten letter)

»   Barua ya kudhamini kutoka serikali ya mtaa

»   Picha  moja (1) ya passport size kwa kila mdhamini

»   Copy ya Kitambulisho Cha NIDA, Passport(hati ya Kusafiria) au kitambulisho chochote
kinachotambulika na serikall

5. Awe amehitimu mafunzo ya JKT, au awe na cheti cha mgambo au polis jamii.

Tuma CV na nyaraka zote kupitia: Email: abbakarmfaume@gmail.con

whatsApp (Only): 0692 093 082


Maombi  yanapokelewa  kila siku. Fika ofisini au tumia  njia za mawasiliano hapo juu.


TOSH SECURITY

ULINZI WA KUAMINIKA

Uhuru na Msimbazi, Dar es Salaam

P.0. Box 1319


Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.