Nafasi Za Kazi , Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara - Dereva Daraja II - 9 Posts
POST DETAILS
POST DEREVA DARAJA II - 9 POST
EMPLOYER Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara
APPLICATION TIMELINE: 2025-06-27 2025-07-10
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
Kufanya usafi wa gari; na
Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa mwenye Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja(1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chuo Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
POST DETAILS
POST DEREVA DARAJA II - 9 POST
EMPLOYER Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara
APPLICATION TIMELINE: 2025-06-27 2025-07-10
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
Kufanya usafi wa gari; na
Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa mwenye Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja(1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chuo Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION TGS B 1
Soma pia PDF YAKE:
Go to our Jobs page for more Similar Relevant Information.
Soma Pia: Jinsi ya Kujiajiri Tanzania Kupitia Huduma za Usafishaji: Ofisi, Nyumba, Magari